Muonekano wa Barabara ya Libobe – Ming’wena kabla ya kujengwa na TARURA iliyopo Kata ya Libobe Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara mkoani Mtwara ambayo iliharibiwa na mvua na kukata mawasiliano kati ya vijiji vya Libobe na Ming’wena. Kata za wilaya ya Mafia ni kama zifuatazo: Shehia Eneo km² Wakazi 2002 Vijiji Baleni 132.1 9137 Baleni, Kungwi, Ndagoni, Chunguruma Jibondo 21.9 3405 Jibondo, Chole, Juani Kanga 52.7 … Halmashaur i ya Wilaya ya Bagamoyo ni moja kati ya Halmashuri 9 katika Wilaya 7 za Mkoa wa Pwani. HALMASHAURI ya Wilaya ya Siha Mkoani Kilimanjaro, imetumia sh69 bilioni kwa ajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo kupitia mapato ya halmashauri, fedha za ruzuku za serikali kuu, michango ya wananchi na wadau wa OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA SIHA TAARIFA YA MWENYEKITI WA HALMASHAURI MKUTANO WA KAWAIDA WA BARAZA LA MADIWANI KATIKA KIPINDI CHA ROBO YA PILI (OKTOBA -DESEMBA,2016). Mkuu wa Wilaya ya Monduli, Mhe. ACP Edward Balele akizungumza na baadhi ya watendaji wa Wizara ya Maliasili na Utalii na wataalam kutok... Home WATENDAJI WIZARA YA MALIASILI WAKAGUA VIJIJI VILIVYOVAMIWA NA TEMBO VILIVYOKO KWENYE … VICOBA 58 vimeweza kuundwa kwenye maeneo mbali mbali ya wilaya ya Magu. Halmashauri ina jumla ya watumishi 1531 kati yao watumishi 104 wako makao makuu ya wilaya na 94 ngazi ya kata na vijiji. Kipo katika Kata ya Kasekese, Tarafa ya Mwese, Wilaya ya Mpanda, Mkoa wa Katavi. Wizara ya Kilimo kupitia wataalam wake wa kudhibiti visumbufu vya mimea wamefanikiwa kuangamiza makundi ya nzige kwenye wilaya za Siha, Simanjiro na Longido ambapo kazi inayoendelea sasa ni kufanya ufuatiliaji endapo kazi ilikuwa ngumu kwani iliambatana na changamoto nyingi. Ni wiki moja sasa imepita tangu nilipomaliza zoezi la kukagua maendeleo ya waalimu tarajali wanaoendelea na mafunzo yao ya kufundisha ya muda mrefu yaani “block Teaching Practice” (B.T.P). 26,719,947. Kauli hiyo imetolewa na Meneja wa Shirika la Umeme (Tanesco) wilaya ya Bahi, Brayson Kitila akizungumza kwenye kikao maalumu cha Baraza la Madiwani cha halmashauri hiyo kilichoketi kujadili maendeleo na bajeti. Sehemu ya makundi ya zige wakionekana pichani wakiw wamekufa baada ya kupuliziwa sumu jana kwenye maeneo ya kata ya Ngare nairobi wilaya ya Siha. Katika kipindi cha miaka mitano, amefanikisha vijiji 32 kufikiwa na umeme. Mwaka huu wa 2015/2016, Halmashauri zimefanikiwa kutoa kiasi cha Tsh 21,000,000 kati ya Tshs. 26,719,947. Halmashauri ya Wilaya ya Arusha imeanza kutekeleza mpango wa TASAF awamu ya III kuanzia mwaka 2013 katika vijiji 45 katika kata 17 na mpango huu ulianza na jumla ya kaya 9,520. WIlaya hii ilitengwa mwaka 1975 kutoka Wilaya ya Moshi ya awali. Zaidi ya vijiji 11 wilayani Hai mkoani Kilimanjaro vikiwemo vijiji vya Mungushi, Mtakuja, Tindigani na Mlima shabaha vinatarajia kunufaika na huduma ya umeme kupitia wakala wa umeme vijijini REA huku vijiji vitakavyofuatia mara baada ya kukamilika kwa awamu hiyo ni vijiji vya chemka, kambi ya nyuki, kilimambogo, mbatakero,pamoja na modio. (Habari na picha na Wizara ya Kilimo) Wananchi wa wilaya ya Siha mkoa wa Kilimanjaro wameipongeza serikali kwa hatua iliyochukua kudhibiti makundi ya nzige waliovamia maeneo ya mashamba ya kufuatia zoezi la kuangamiza nzige hao … Wakizungumza na waandishi wa habari leo(25.02.2021) baadhi ya wakulima walimweleza Naibu Waziri wa Kilimo Hussein Bashe aliyetembela mashamba ya Nanai eneo la Sanya Juu wilaya ya Siha kufuatilia kazi ya kuangamiza nzige ikiwa ni leno la serikali kulinda maisha ya watu na mali zao. Wananchi wa Vijiji vya Isago na Itongowa Kata ya Mngeta wilayani Mlimba wameomba Serikali na mbunge wa jimbo la Mlimba Godwin Kunambi kuwajengea daraja litakalokomesha vifo na ulemavu kutokana na tishio la mamba katika Mto Mngeta . Simanjiro (kusini), Rombo na Mbuga wa Kilimanjaro upande wa kaskazini. Awali akimkaribisha mkuu wa Wilaya ya Siha mhandisi wa maji Halmashauri ya Wilaya ya Siha Joyce Bahati kwa niaba ya mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Siha alieleza kuwa, mradi utakapokamilika utawanufaisha kaya zaidi ya 200 katika kijiji … Imepakana na Wilaya za Moshi Vijijini (mashariki), Arusha Vijiini na Siha (magharibi). VIJIJI tisa vya Halmashauri ya Wilaya ya Bahi mkoani Dodoma vilivyosalia kupata nishati ya umeme vitapatiw ahuduma hiyo wakati wowote kuanzia sasa. (b) Walianza kwa kuchagua maeneo ya kufanyia kazi na pia wakachukua udongo tayari kwa kuupima. Serikali ya Tanzania imedhamiria kufikisha huduma ya umeme katika vijiji vyote nchini Tanzania vikiwemo na vijiji 25 vya wilaya ya Ruangwa ambavyo bado havijafikiwa na umeme. Halmashaur i ya Bagamoyo inaundwa na Tarafa 2, Kata 11, Vijiji 8 na Vitongoji 174 JIOGRAFIA YA WILAYA Halmashaur i ya Alipoingia madarakani, alikuta ndani ya jimbo lake umeme ukiwa umefika vijiji 28 tu. Uhamasishaji wa ujenzi wa nyumba bora na za bei nafuu ulifanyika kwenye vijiji vya … Kijiji cha Kagunga ni miongoni mwa vijiji hamsini na tano (55) vya wilaya ya Mpanda. Wananchi hao walitoa kilio chao mbele ya Mkuu wa wilaya ya Songea, Pololet Mgema, wakati alipofanmya ziara katika vijiji hivyo. Kilombero. Vijiji vingine vilivyomo kwenye kata hii ni pamoja na Kasekese na Kaseganyama. ifikapo mwezi Juni, 2020 vijiji zaidi ya 10,278 kati ya 12,268 vya Tanzania 11 Bara vitaunganishwa umeme sawa na asilimia 84 ya vijiji vyote. awamu ya kwanza Kampuni ya SIHA ENTERPRISES CO. LTD ya Dar es salaam 26,719,947. Hata hivyo Mkuu huyo wa wilaya alisikia kilio chao na kuagiza Wakala wa Maji Vijijini (RUWASA) kuhakikisha ndani ya mwezi mmoja maji yanasambazwa kwa wananchi kwani mradi huo wa maji umechukua zaidi ya miaka mitatu. Hii ina maana kuwa kati ya vitongoji 166 vya jimbo zima, vimebakia Anamringi Macha amezindua mradi wa Maji katika vijiji vya Iramba na Igwamanoni kata ya Igwamanoni halmashauri ya wilaya ya Ushetu uliotekelezwa na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Mkuu wa wilaya ya Arumeru mh Jerry Muro amesema watendaji wa vijiji wamekuwa na tabia ya kuwataka wakuu wa wilaya watoke ofisini kwenda kuchoma moto mashamba ya bangi ilhali wao madc walishakatazwa na Rais Magufuli. Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Wakulima wa Vijiji Vya Shehia ya Kiungoni, Kinyikani, Pandani na Pembeni Wilaya ya Wete Wajengewa Uwezo na Tamwa Kilimo Cha Matunda zanzinews.com 3:06 PM Afisa Kilimo mseto wa … ORODHA YA VIJIJI … Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi, (Muwsa) imetenga zaidi ya Sh6.8 bilioni kwa ajili ya kuboresha huduma ya maji katika vijiji 12 vilivyopo halmashauri ya Wilaya ya Moshi. Baadhi ya viongozi wa Serikali na Taasisi za Umma pamoja na wadau wa tasnia ya Sukari wakimsililiza Waziri wa Kilimo, Profesa Adolf Mkenda, ( hayupo pichani) wakati akizungumza na wakulima wa miwa kutoka vijiji vya Msowero, Malangali, Mvumi,Wami Dakwa na Mbigiri vilivyopo katika wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro alipotembelea Kiwanda cha Mkulazi II kilichopo wilayani humo. ya vikundi vya vijana 18 vyenye jumla ya wananchama 90 ili kukuza maendeleo yao binafsi na Taifa kwa Ujumla. shule nyingi zipo vijijini na miundo mbinu ya barabara bado ni tatizo kwa sehemu nyingi za wilaya ya Iramba. (a) Mwaka 1998 ndiyo mwanzo wa mradi huu katika vijiji vya Ng’iresi / Olgilai katika ukanda wa juu wa Kiserian na ukanda wa chini. Wakazi wa vijiji vya Borenga na Nyiboko Wilaya ya Serengeti wamemuomba mkuu wa Wilaya hiyo kukaa na uongozi wa Wilaya ya Tarime kusaka namna ya kudhibiti wafugaji wanaoingiza mifugo kwenye mashamba yao hali inayotishia uvunjifu wa amani.